- Tusiaandikie penseli wakati penny aliyekuwa wa Diamond yupo.
- Kama usiku wa jana ulilala na haukuota basi leo lala na mbolea utaota.
- Big up kwa wasichana wote ambao wamevaa vimini kwa sababu walijua kuwa mlimani city hakuna mbu, ahsante sana kwa kwenda na wakati.
- Wema mamaa magazeti
- Kuchuna buzi na kuchanganya mabwana ni kipaji pia
- Ukiona panya anakatisha katisha sebuleni ujue anataka kujulikana.
- Kirefu cha HIV ni Hatari Imeingia Vitandani.
- Hivi ukiwa mcheza shoo lazima ujichubue?
- Na mimi pia ni dokta lakini wa magonjwa ya kike
Home
»
»Unlabelled
» MPOKI :KAULI TATA NA MISEMO YAKE ILIYOWAKONGA NYOYO MASHABIKI WALIOHUDHURIA KATIKA YUZO ZA KILI
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)

0 maoni:
Chapisha Maoni