Watafiti na Madaktari
kutoka bara ya ulaya wamethibitisha kuwa gundi hizo zinazotumiwa huwa
zinakemikali ambayo zinaleta adhari kubwa katika mwili wa mwanadamu
hususani kansa.
Mpaka sasa madaktari bingwa kutoka ulimwenguni kote bado hawajapata uvumbuzi wa dawa ya kutibu kansa zaidi tu ya kutumia njia ya kuchomelea mionzi ili mgonjwa apate ahueni.
-swahilitz
0 maoni:
Chapisha Maoni