About

www.facebook.com/archileusanatory/pambazuabongo


LULU

OOHOOO! Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekwaa skendo ya kudaiwa kukuwadiwa na mwigizaji mwenzake, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ kwa mwanaume anayedaiwa kutoka naye kimapenzi kwa sasa anayetajwa kwa jina moja la Johnson


STEVE NYERERE


Chanzo makini kilipenyeza ‘upupu’ huo ambao umefafanuliwa na Steve Nyerere kuwa ukaribu wa Lulu na bosi huyo umetokana na kazi kwani yeye na Lulu wameingia mkataba hivyo walitegemea kusikia manenomaneno.

Lulu alipotafutwa kuhusiana na ishu hiyo, alitiririka: “Wabongo wanapenda sana kuzusha mambo, sijawahi kuwa na mwanaume anayeitwa Johnson  zaidi ya kuwa bosi wangu.”

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Top