Mwimbaji wa muziki kutoka Tanzania Diamond Platnumz ametajwa kuwania
tuzo za burudani za Afrika zinazoandaliwa na kufanyika Marekani.
Tuzo hizi ni za African Entertainment na kupitia mtandao http://www.africanentertainmentaward.com/
wametufahamisha kuwa Diamond anawania kipendele viwili ambavyo ni
Hottest Male Single Of The Year na Best Male Artist Of The Year.
Kupiga kura Bonyeza Hii Link Hapa na Uwe na Email au Utumie Facebook/ Twitter. HAPA
Home
»
»Unlabelled
» Diamond Platnumz atajwa kuwania tuzo za Burudani Marekani ‘African Entertainment Awards USA’.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni