Staa mrembo wa filamu, Husna Chobis amefunguka kwa kusema
kuwa filamu alizoigiza za kiasili zimepata dili la kwenda kuigiza
nchini Uingereza, baada ya kuchaguliwa kupitia sinema ya Gawa na Ndase
alizoigiza na kumpatia umaarufu.
“Namshumkru Mwenyezimungu kwa kuonyesha kipaji changu uigizaji na
hasa filamu za asili, najua wazi kama si filamu hizi isingekuwa rahisi
kuchaguliwa na kuja hapa Uingereza kushiriki filamu ninayocheza sasa,
filamu za asili zimenipa dili,”anasema Husna.
Msanii huyo yupo nchini uingereza pamoja wasanii wenzake wawili yaani
Eshe Buheti na Yusuf Mlela zaidi ya mwezi mmoja wakirekodi filamu
inayoshiriki raia wa Afrika ya Mashariki na wasanii kutoa Afrika
Magharibi nchi za Naijeria na Ghana.
Home
»
»Unlabelled
» Filamu Zakiasili za Mpa Dili Husna
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni